27, apr 2017 ligi ya England alimahalufu kama Premier league iliendelea baadhi ya timu zilicheza katikati ya wiki hii moja. kati ya mechi kubwa ikiyotazamwa na mashabiki wengi wa soka ni kati ya dabi ya jiji la Manchester kati ya man city akiwa nyumbani Etihad Stadium akimkaribisha Man United.
Mpaka dakika ya 90 za mchezo Man city na Man United walitoshana nguvu ya bila kufungana 0-0.
ila kuna matukio mawili yaliyojitokeza ndani ya mchezo huo.
›Tukio la kwanza, mchezaji wa Man united Fellaini kuzawadiwa kadi nyekundu dakika ya 84'.
›Tukio la pili, kipa wa Man city Bravo kupata majelaha katika dakika ya 78' na kutolewa nje kwa matubabu zaidi.
Man city akibaki kwenye nafasi yake ileile ya nne akiwa na point 65 huku akifatiwa na Man United kwa tofauti ya point moja.
No comments:
Post a Comment