Saturday, December 17, 2016

Yanga yatoa kichapo cha 3 bila JKT Ruvu

Dec 17 ligi kuu Tanzania bara imefunguliwa na mechi baadhi, ila kwa upande wa Mabigwa wa tetezi young africas walikipiga na JKT Ruvu katika uwanja wa uhuru dar es salaam. Yanga wameibuka washindi kwa mabao 3 kwa bila mabao hayo yakifungwa na simon msuva akifunga mabao mawili na goli moja wakijifunga JKT Ruvu kupitia mchezaji wao Michael Aidan.

Matokeo ya mechi weekend hii

Ligi kuu ya EPL yaendelea kutimua vumbi weekend hii. Nimekuletea matokeo ya mechi zilizopigwa hii leo

Crystal palace  1-2 Chelsea

Middlesbrough 3-0 Swansea

Stoke city          2-2 Leicster

Sunderland       1-0 watford

West hum         1-0 Hull city

West brom         0-2 Manchester unt

Dec 18 kuna mechi zitaendelea kupigwa katika viwanja tofauti ikiwemo mechi kali ziadi arsenal na vijana wa jijini Manchester sio wengine ni Manchester city stori zote utazipata hapa hapa

Friday, December 16, 2016

Ligi kuu Tanzania bara ratiba

Ligi ya Tanzania bara yaanza kutimua vumbi leo hii ratiba kamili.

Ruvu shooting vs Mtibwa sugar

Mbao vs Stand united

Mwadui vs Toto

Ndanda vs Simba sc

Mbeya city vs Kagera sugar

JKT ruvu star vs Young africas

Uhondo wote utaupata hapa hapa KANDANDA ULIMWENGUNI

Shabiki wa sunderland anasumbuliwa na ugonjwa wa kansa

Mtoto huyo shabiki wa sunderland anasumbuliwa na ugonjwa wa kansa na madaktari wamewaambia wazazi wake ana miezi miwili tu ya kuishi kama wewe ni mwanamichezo tumwombee mtoto huyu mungu ampe maisha malefu kwa uishangilia clabu yake ya sunderland

Mrisho Ngassa kujiunga na mbeya city

December 25 ilikua ni siku ya mwisho ya kufungwa dirisha dogo la usajili Tanzania bara mchezaji wa zamani wa Young Africas na Simba sc Mrisho Ngassa kujiunga na clabu ya mbeya city kwa mkataba wa mwaka mmoja.
Amejiunga na mbeya city baada ya kumaliza mkataba wake huko free state star ya Afrika kusini.

Thursday, December 15, 2016

Cristiano Ronaldo avunja rekodi kwa kutwaa Tuzo ya ballon d'ro

Mchezaji wa team ya taifa ya ureno anayechezea real madrid cristiano ronaldo baada ya kutwa tuzo Ballon d'ro kwa mara ya nne na kua mchezaji wa kwanza kubeba tuzo hiyo mala nyingi kuliko mchezaji yoyote yule kutoka nchi ya ureno takwimu zinaonyesha
1965-eusebio
2000-luis figo
2008-cristiano ronaldo
2013-cristiano ronaldo
2014-cristiano ronaldo
2016-cristiano ronaldo