Friday, December 16, 2016

Shabiki wa sunderland anasumbuliwa na ugonjwa wa kansa

Mtoto huyo shabiki wa sunderland anasumbuliwa na ugonjwa wa kansa na madaktari wamewaambia wazazi wake ana miezi miwili tu ya kuishi kama wewe ni mwanamichezo tumwombee mtoto huyu mungu ampe maisha malefu kwa uishangilia clabu yake ya sunderland

No comments:

Post a Comment