Thursday, December 15, 2016

Cristiano Ronaldo avunja rekodi kwa kutwaa Tuzo ya ballon d'ro

Mchezaji wa team ya taifa ya ureno anayechezea real madrid cristiano ronaldo baada ya kutwa tuzo Ballon d'ro kwa mara ya nne na kua mchezaji wa kwanza kubeba tuzo hiyo mala nyingi kuliko mchezaji yoyote yule kutoka nchi ya ureno takwimu zinaonyesha
1965-eusebio
2000-luis figo
2008-cristiano ronaldo
2013-cristiano ronaldo
2014-cristiano ronaldo
2016-cristiano ronaldo

No comments:

Post a Comment