December 25 ilikua ni siku ya mwisho ya kufungwa dirisha dogo la usajili Tanzania bara mchezaji wa zamani wa Young Africas na Simba sc Mrisho Ngassa kujiunga na clabu ya mbeya city kwa mkataba wa mwaka mmoja.
Amejiunga na mbeya city baada ya kumaliza mkataba wake huko free state star ya Afrika kusini.
No comments:
Post a Comment