February 26, 2017 ndio siku ya historia kwa kocha wa Man United Jose Mourinho baada ya kuchukua kikombe cha EFL Cup.
Mechi ya fainali iliyochezwa katika uwanja wa Webley ili zikutaniasha timu mbili bola Manchester United na Southampton.
Man United imeibuka washindi wa goli 3-2 magoli yote mawili ya Southampton yakifungwa na Manolo Gabbiadini katika dakika ya 45 na 49. Na magoli ya Manchester United yakifungwa na Zlatan Ibrahimovic dakika ya 19 na dakika ya 87 huku Jesse Lingard akiifungia Man United goli la pili dakika ya 39.
Manchester United imechukua ELF Cup mala 5 huku Zlatan Ibrahimovic ndio amekua mfungaji bola wa ashindano hayo 2017 baada ya kuifungia Man United magoli 4.