Usiku wa wanaume unaenda kuzihilishwa wazi siku hii ya leo kati ya mechezo miwili ya robo fainali ya kwanza liki kuu ya mabigwa UEFA Champion League. zitachezwa michezo miwili katika viwanja viwili tofauti ambao;
Paris Saint German vs Barcelona
Benfica vs Borussia Dortimund
Ila mechi itakayo tazamwa na wapenzi wa soka dunia na kati ya PSG akiwakalibisha Barcelona.
Toa maoni yako kwa cumment yako kutabili kati ya mechi hzi mbili.
No comments:
Post a Comment