25, February 2017 kulikua na mchezo wa maludiano kati ya watani wa jadi Simba na Yanga Ligi kuu Tanzania bara katika uwanja wa Taifa Dar es salaam.
Baada ya sare katika mchezo wa round ya kwanza ya 1-1. Round ya pili imechezwa hii leo na simba kuibuka washindi wa goli 2-1.
Goli la Yanga limefugwa na Simon msuva dakika ya 4 kwa mkwaju wa penati , magoli ya Simba yamefungwa na Laudit Mavugo dakika ya 66, goli la pili lilifugwa na Shiza Kichuya akitokea bechi.
Baada ya mechi hiyo Simba wamebakia kileleni kwa jumla ya point 54 huko Yanga wamebaki na point zake zilezile 49 akiwa na kiporo kimoja.
No comments:
Post a Comment