Mbadala wa aliyekua kocha wa Azam FC kutokea Hispania Zeneb Hernandez, umepatikana hii leo baada ya kumsainisha kocha mpya kwa mkataba wa miezi sita Aristica Cioaba raia wa Romania mwenye umri wa miaka 45. Azam wameingia mkataba na kocha huyo leo huko katika visiwa vya Zanzibar na anategemea kuwepo kwenye mechi yao ya nusu fainali hapo badae kati ya Taifa Jang'ombe.
No comments:
Post a Comment