Michezo ya kundi B yaanza kutimua vumbi siku hii ya leo katika kombe la mapinduzi cup huko zanzibar michezo wa kwanza kati ya Azam ashinda moja kati zidi ya zimamoto.
Mchezo uliofuata ni kati Yanga na Jamhuri. Yanga akipata ushindi wa bao 6 bila ushindi huo umewafanya wawe juu katika kundi lao kwa magoli
No comments:
Post a Comment