Monday, January 2, 2017

Goli la Giroud limekua kivutio kwa mashabiki wa soko

January 1, 2017 ligi kuu ya england iliendelea kwa michezo miwili katika viwanja viwili tofauti kati ya Watford akiwa nyumbani vicarage akipokea kichapo cha goli 4 kwa 1 zidi ya Tottenham. Ila katika uwanja wa Emirates Arsenal akiwa nyumbani akipata ushindi mnene 2-0 zidi ya crystal palece magoli yakifugwa na O.Giroud katika dakika ya 17 na dakika ya 56 iwobi akifunga goli la pili. Ila goli la kwanza la Arsenal lililofungwa na mfaransa Oliver Giroud limekua kivutio kikubwa zaidi kwa wapenzi wa soka la England na kuzungumziwa sana katika mitandao ya kijamii likifananiswa na goli la mchezaji wa mancherster united Henrick mkhitaryan alilofunga zidi ya Sunderland

No comments:

Post a Comment