Shilikisho la soka duniani FIFA january 9,2017 lilitoa tuzo huko mjini Zurich Uswiss, watu wengi walitolea jicho tuzo ya mchezaji bora wa dunia iliyokua ikishindaniwa na Lionel Messi, Cristiano Ronaldo, na Antoine Griezmann.
Ila mshindi wa tuzo ya mchezaji bora wa dunia FIFA alikua ni Cristiano Ronaldo.
No comments:
Post a Comment