Mchezo wa mwisho wa kundi A uliochezwa usiku wa January 22, ambao uliwakutanisha mwenyeji wa mashindano hayo Gabon aliyetoa sale na Cameroon mchezo huo ulimfanya Gabon kuaga mashindano hayo baada ya kutoa sale michezo yake mitatu na kumfanya kushika nafasi ya tatu akiwa na point Tatu huku akiambatana na Guinea Bissau aliye shikilia nafasi ya mwisho. Burkinafaso na Cameroon ndio wamewaza kufuzu atua ya robo fainali kwenye kundi A
No comments:
Post a Comment