Monday, January 2, 2017

Arsenal kupokea kichapo kikali kutoka kwa man city

Jumapili ya December 18, 2016 Ligi kuu ya England imeendelea kutimua vumbi ilipigwa big match kati ya Manchester city zidi ya Arsenal. Manchester city akiwa nyumbani katika uwanja wake wa etihad.. Dakika ya 90 zimemalizika kwa ushindi mnono kwa man city bao 2-1.
Arsenal walipata goli la kwanza dakika ya 5 kupitia mchezaji wao Theo walcott na magoli ya Manchester city yalifungwa na leroy sane dakika ya 47 na dakika ya 71 Raheem sterling akimaiza mchezo.

No comments:

Post a Comment