Mashindano ya AFRICA CUP OF NATION (AFCON) yametalajiwa kuanza hivi punde masani wa Tanzania Diamond platnumz ambaye atakwenda kuburudisha katika ufunguzi wa mashindano hayo hapo January 14, 2017 nchini Garbon Diamond platnumz ameangwa kwa kupewa bendela ya Taifa na waziri wa michezo Nape
No comments:
Post a Comment