January 15, 2017 baadhi ya mechi za La Liga ziliendelea moja kati ya mechi iliyoangaliwa na wengi ni kati ya Sevilla akiwa nyumbani akimkalibisha Real Madrid.
Kipindi cha kwanza kilitoka suluhu bila kufungana lakini kwenye dakika ya 67 Madrid walipata mkwaju wa penati kupitia mshambuliaji wao Cristian Ronardo. Magoli ya Sevilla yakifungwa na Sergio Ramos akijifunga kwenye dakika ya 85 na dakika ya 90 Jovetic akiwapatia goli la pili Sevilla
No comments:
Post a Comment