Friday, January 6, 2017

Man city yatoa kichapo cha tano bila zidi ya westhum

FA Cup yaanza usiku kuamkia leo ilipigwa mechi kati ya westhum wakiwakalibisha Manchester city katika uwanja wa London stadium. Westhum wapokea kipigo chini ya kocha pep Guardiola cha 5 bila magoli ya man city yakifugwa na Yaya Toure dakika 33', dakika ya 42' Havard Nordtveit aliyejifunga, Sergio Aguero dakika ya 51' na John stones dakika ya 84'

No comments:

Post a Comment