Friday, January 6, 2017

Habari za usajili Johb Obi Mikel asajiliwa huko china

Kiungo wa Chelsea Johb Obi Mikel raia wa Nigeria atimkia klabu ya Tianjin TEDA ya China baada ya kukaa Stamford Bridge miaka 10 na kutwaa makombe 11.

No comments:

Post a Comment