Sunday, January 15, 2017

Pep Guardiola kupokea kichapo cha bao 4 bila

January 15, 2017 zilipigwa mechi mbili ambazo zilitazamiwa na mashabiki wengi wa soka la ulaya ni kati ya Manchester city akiwa ugenini kwa Everton.. Magoli ya Everton yalifungwa na Lukaku dakika ya 34',dakika ya 47 millaras akiwapatia goli la pili ,dakika ya 79 Davies akifunga goli la tatu, dakika ya 90 Lookman akimaliza mchezo kwa city kulala bao nne bila

No comments:

Post a Comment