Usiku wa kuamkia jana mashindano ya Copa del Rey ambopo mechi nne zilichezwa ambazo ni
Alves 1-1 Deportivo
Cordoba 1-2 Alcorcon
Villarreal 1-1 R. Sociedad
Lakini mechi iliyotazamwa na mashabiki wengi ni kati ya Barcelona akimkalibisha Athletic amboyo ilimazimika kwa Barcelona kupata ushindi mnono wa goli 3-1 magoli ya Barcelona yakifungwa na L. Suarez dakika ya 34 , dakika ya 48 Neymar akifunga kwa mkwaju wa penati , na dakika 78 free kick ya Lionel Messi. Ila goli la Athletic club lilifungwa na saborit dakika ya 51 michezo ukimalizika kwa MSN kuifikisha timu yao hatua ya robo fainali.
Thursday, January 12, 2017
MSN wanefanikiwa kuingia hatua ya robo fainali
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment