Kiungo wa zamani wa Chelsea amesajiliwa na klabu ya china
2,January2017 kiungo wa zamani wa klabu ya Chelsea na Timu ya Taifa ya Brazil Oscar Emboaba amejiunga na klabu ya Shanghai SIPG ya China. kiungo huyo amesajiliwa kwa ada ya pound million 52 na kulipwa 400,000 kwa wiki.
No comments:
Post a Comment