Monday, January 23, 2017

Rooney kuendeleza ubabe wake katika klabu ya man u

Mchezaji wa Manchester united Wayne Rooney ambaye ameitumikia klabu hiyo tangu mwaka 2014 kwa kipindi chote amefanikiwa kuifungia magoli 250 moja kati ya magoli mulwa aliyefunga zidi ya Stoke City January 21, idadi ya magoli hayo yamemfanya kuendeleza ubabe wake zidi ya mchezaji wa zamani wa Manchester united Bobby Charlton mwenye magoli 249.

No comments:

Post a Comment