January 15, 2017 ligi ya England zilipigwa mechi mbili ambazo zilitazamiwa na mashabiki wengi wa soka la ulaya moja kati ya hiyo mechi ni kati ya Manchester united akiwa nyumbani Old Trafford akimkalibisha mtani wake Liverpool mechi ikimalizika kwa suluhu ya 1-1 goli la Liverpool lilifungwa na kwa mkwaju wa penati katika dakika ya na dakik ya Zlatan akiisawazishia united ila goli hilo lilimsisimua mchezaji wa zamani wa Manchester United Rio Fredinand
No comments:
Post a Comment