Sunday, January 8, 2017

Yanga apokea kichapo cha bao nne bila zidi ya Azam

January 7, 2017 mchezo wa mwisho kundi B ulichezwa katika uwanja wa Amaan Zanzibar. Azam fc iliyoonekana unasuasua katika mashindano hayo ila usiku huo wa jana Azam ilimshushia kichapo kikali Yanga cha goli 4-0 magori ya Azam FC yalifugwa na John Bocco dakika ya 2, Yahaya mohamed dakika ya 54, na dakika ya 80 Joseph muhundi, na goli la mwisho alifunga Enock Atta. Ushindi huo unamweka Azam FC nafasi ya kwanza akifatiwa na Yanga wakati zimamoto pamoja na Jamhuri wakiaga mashindano

No comments:

Post a Comment